Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 29 September 2016

RWANDAIR YASHUSHA NDEGE MOJA MPYA KATI YA NNE WALIZOAGIZA

Shirika la ndege la RwandAir limepokea ndege yake mpya aina ya Airbus A330 jana nchini Rwanda yenye uwezo wa kubeba abiria 276. Ndege hiyo mpya inakuwa ndege ya kwanza kufika Kigali ikiwa ni miongoni mwa ndege mpya nne zilizoagizwa. Mwisho mwa mwaka huu ndege hizo zitaanza kuruka kutokea mjini Kigali kuelekea nchi za India na China zikiwa ni safari mpya kwa Shirika hilo la RwandAir. Meneja mkazi wa Shirika hilo hapa nchini, Ibrahim Bukenya amesema mafanikio hayo ni kwa ushirikiano wa wasafiri na washiriki wao kwenye biashara.



No comments:

Post a Comment