Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 30 September 2015

SIMBA CEMENT YAIPIGA JEKI MZUMBE SECONDARY SCHOOL

Kaimu Mkuu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mzumbe ya mkoani Morogoro, Bi. Jemma Kimolo akipokea msaada wa tani 30 za saruji kutoka kwa Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga (Simba Cement), Diana Malambugi (wa pili kushoto) zilizolewa na kampuni hiyo kusaidia ukarabati wa majengo ya vyoo, mabweni na ofisi za walimu za shule hiyo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika Saruji, Pongwe, Tanga jana. Wengine pichani ni maofisa wa kampuni na baadhi ya wanafunzi waliosoma Mzumbe.
Kaimu Mkuu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mzumbe ya mkoani Morogoro, Bi. Jemma Kimolo akipokea msaada wa tani 30 za saruji kutoka kwa Ofisa Fedha Mkuu wa Kampuni ya Saruji Tanga (Simba Cement), Unguu Sulay (wa pili kushoto) zilizolewa na kampuni hiyo kusaidia ukarabati wa majengo ya vyoo, mabweni na ofisi za walimu za shule hiyo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika Saruji, Pongwe, Tanga jana. Wengine pichani ni maofisa wa kampuni na baadhi ya wanafunzi waliosoma Mzumbe.

TIGO NA REACH FOR CHANGE WAZINDUA SHINDANO LA WAJASIRIAMALI JAMII

Meneja mkuu wa Tigo Tanzania Diego Gutierrez, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa shindano la wajasiriamali jamii liitwalo “Tigo Digital Change-makers”, kampuni ya Tigo kushirikiana na Reach for Change kila mwaka wanatafuta watu wenye kuibua mawazo ya kibunifu ambayo yatasaidia kutatuta matatizo yanayowakabili watoto na vijana nchini.
Meneja wa Reach for Change Tanzania, Peter Nyanda, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa shindano la wajasiriamali jamii liitwalo “Tigo Digital Change-makers”, kampuni ya Tigo kushirikiana na Reach for Change kila mwaka wanatafuta watu wenye kuibua mawazo ya kibunifu ambayo yatasaidia kutatuta matatizo yanayowakabili watoto na vijana nchini.
Mwanzilishi wa Shule Direct ,Iku Lazaro ambaye ni mmoja kati ya wabunifu miradi akiongea na waandishi jinsi gani alivyobuni mradi wake.
Meneja mkuu wa Tigo Tanzania Diego Gutierrez, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa shindano la wajasiriamali jamii liitwalo “Tigo Digital Change-makers”, wengine kulia kwake Meneja wa Reach for Change Tanzania, Peter Nyanda,kushoto mwisho Lilian Matari Afisa Mawasiliano wa Reach for Change Africa na kulia mwisho May Thomas Kaimu Meneja Huduma kwa Jamii wa Tigo.

FASTJET ANNOUNCES INTERIM RESULTS FOR THE SIX MONTHS ENDED 30 JUNE 2015

28 September 2015 - fastjet, the low-cost African airline, announces its unaudited interim results for the six months ended 30 June 2015 and operational highlights of 2015 to date.

Operational highlights

H1 2015

· fastjet Tanzania
o 51% increase in aircraft utilisation (from 6.4 to 9.7 block hours per aircraft per day)

o 56% increase in total capacity (seats flown)

o 94% punctuality – (arrival earlier than or within 15 minutes of schedule)

· Legacy businesses
o Disposal of 100% of fastjet’s holding in Fly 540 Ghana

o Loss-making services of Fly 540 Angola remain suspended

Q3 2015

· Routes

o New international route added from Dar es Salaam to Malawi

o Flight frequencies increased on many existing routes

· Aircraft
o Fourth fastjet Tanzania aircraft entered into service in September 2015

o First fastjet Zimbabwe aircraft, the fifth aircraft in the fastjet group fleet, arrived in Harare on 18 September 2015

o As announced today, first owned aircraft was delivered on 25 September 2015. The sixth in the fastjet group fleet and expected to be the first in the fastjet Zambia fleet

CLICK HERE TO ACCESS THE FULL REPORT

ENERGIZING AFRICA'S FUTURE, BENEFITING THE WORLD

AfDB President, Akinwumi Adesina.
African Development Bank Group (AfDB) President Akinwumi Adesina delivered an impassioned speech to high-level leaders Sunday morning about why putting all of Africa on the power grid is not only good for the continent, but also for the world.

“The private sector is frozen in time,” he said, and “the lack of energy has put the brakes on Africa’s industrialization.” That stunted internal development prevents the continent’s 54 resource-rich nations from attracting the external investment that would allow everyone to prosper.

He told the crowd that now is the time to push past the days when more than half a million people die each year simply because they have no access to clean cooking energy. He insisted that the era of factories lying dormant due to lack of electricity must come to an end.

“Africa cannot stand by with such massive energy resources and yet be known for the darkness, not the brightness, of its cities and rural areas,” Adesina said. “Africa is blessed with limitless potential for solar, wind, hydropower and geothermal energy resources. And, of course,” he added, its “abundant supply of natural gas and coal.”

MAENDELEO ENDELEVU 17 YA DUNIA YAZINDULIWA TANZANIA

IMG_3349
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez (kulia) na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la UN Women nchini Tanzania, Anna Collins-Falk (katikati) wakipata picha ya kumbukumbu sambamba na mmoja wa wadau wa maendeleo. (Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).

Na Mwandishi wetu

UMOJA wa Mataifa kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania wamezindua rasmi malengo ya Maendeleo Endelevu 17 ( SDGs).

Malengo hayo ambayo pia yanajulikana kama malengo ya dunia yamezinduliwa jana Septemba 29 katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.

Uzinduzi huo ulifanywa na Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez, Kamishina wa mipango (POPC) Bw. Paul Kessy, na Kamishina wa Mipango wa Zanzibar, Bw. Ahmed Makame kwa niaba ya serikali, Bi. Fionnuala Gilsenan, Balozi wa Ireland na Bi. Liz Lloyd, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered Tanzania kwa niaba ya wadau wa mradi wa Project Everyone Partners.

SIKU YA UTALII DUNIANI 2015

MOHAMMED DEWJI KUANZISHA BENKI YA MIKOPO KWA WAFANYABISHARA WADOGO NCHINI

DSC_0316
CEO wa Kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akiwa ofisini kwake.

Na Modewjiblog team

Mfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji ambaye hivi karibuni amepata tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika wa mwaka 2015, katika kinyang’anyiro cha tuzo za wafanyabiashara bora wa Afrika (African Business Awards 2015) amebainisha kuwa lengo kuu la kampuni anayoiongoza ya MeTL Group, hadi kufikia mwaka 2022, ni kufikia dola bilioni 5 huku akitarajia kuajiri wafanyakazi zaidi ya Laki moja.

Dewji maarufu kama MO amebainisha hayo wakati wa mahojiano maalum ya moja kwa moja yaliyorushwa hivi karibuni na kituo cha BBC kupitia kipindi cha BBC SWAHILI DIRA YA DUNIA ambapo alibainisha hayo.

CHINA'S PRESIDENT XI JINPING WILL MAKE HIS FIRST STATE VISIT TO BRITAIN NEXT MONTH

Chinese President Xi Jinping delivers a speech at a ceremony to present commemorative medals of the 70th anniversary of the Victory of Chinese People's War of Resistance Against Japanese Aggression, to World War Two veterans at the Great Hall of the People in Beijing, China, September 2, 2015.
BEIJING (Reuters) - Chinese President Xi Jinping will make his first state visit to Britain next month, the British government said on Tuesday, 10 years after the last such visit by a Chinese president.

The news of Xi's Oct 20-23 visit comes a week after British finance minister George Osborne visited China to strengthen economic and financial ties.

Despite disagreements over human rights and the former British colony of Hong Kong, China values Britain's staunch defense of free trade and lack of obstacles to investing in Britain.

DANGOTE TO COMMISSION TANZANIA CEMENT PLANT

Aliko Dangote
Dangote Cement Plc has concluded plans to commission its new 3.0 million metric tonnes cement plant located in Mtwara District of Tanzania on October 10, 2015.

According to a statement, the company will also unveil its 25 hectares of Jetty land at Mgao village in Mtwara District the same day.

The company noted that the commissioning of the new cement plant is part of its Africa expansion strategy and will be the fourth in the series after Ethiopia, Zambia and Cameroun, adding that cement plants due for commissioning this year include that of Senegal and South Africa, while construction works are ongoing in several other African countries.

With the plant in operation, Tanzania is on its way to becoming one of African countries that are self-sufficient in cement production.

Vice President, Professor Yemi Osinbajo Osinbajo, while speaking at the commissioning of Zambian plant, lauded Aliko Dangote on his investment in several African countries, saying the Federal Government is proud of the company.

TANZANIA CONTEMPLATES WIDENING CAPITAL MARKETS FOR FOREIGNERS

DSE Chief Executive Officer, Moremi Marwa.
Tanzania is before the year end expected to further open her capital markets to allow foreign investors outside the East African region to invest in short and long term government papers.

Currently, only local investors and their counterparts from the East African region, are allowed to participate in the Treasury bills and bonds. Commenting on the initiative, the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) Chief Executive Officer Mr Moremi Marwa said there is expectation of increased trading activities and volume at the secondary bond market.

“It is a significant step that will attract more investments from across the globe into the government papers,” he said, noting that increased competition at the bond market will enable the government to borrow at low interest rates.

The Bank of Tanzania (BoT) said deepening the capital market would make it more responsive to rate moves by the central bank, which could start announcing a benchmark lending rate by late 2016.

Tanzania has been easing restrictions on its capital markets in line with commitments as a member of the five-nation East African Community bloc.

INVESTORS APPETITE FOR TREASURY BILLS UP

Despite the oversubscription, the liquidity squeeze in the circulation is attributed to slight fall of the total amount tendered in the treasury bills auctioned by the Bank of Tanzania (BoT) last week compared to the preceding session.

According to the NMB Bank e-market report, liquidity in the local money markets remains tight as demand for short-term funds is seen trending higher, with interest rates trading upwards 6 per cent.

Most institutions and corporations are converting hard currency for month-end local payments. Some of the key investors in the treasury bills constitute commercial banks, pension funds, insurance firms and few microfinance institutions.

This is the fourth treasury bills auction to record an outstanding performance. The BoT auction summary shows that the total amount bids declined to 162.18bn/- compared to 210.10bn/- total tendered in the session held two weeks ago.

Of the four tenors, the 364 and 182 days offers attracted total bids worth 148.42bn/- slightly lower than 197.56bn/- while the 91 and 35 days failed to breakthrough the amount offered for tendering and were undersubscribed.

TANZANIA BREWERIES DOMINATES TRADE AT DAR BOURSE

The Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) has recorded 98 per cent decline in turnover after posting 2.10bn/- compared to 106.87bn/- of the previous session.

Despite low turnover last week, the Tanzania Breweries Limited (TBL) continued to dominate the trading activities after contributing more than 60 percent of the turnover. Similarly, the total volume of shares registered 99 per cent decrease to 1.42 million from 8.01 million that changed hands in the preceding market.

According to Zan Securities Limited Weekly Wrap-Ups, the market is likely to remain volatile due to low participation from both local and foreign investors. The price movements within local listed companies were recorded in seven counters including the Tanzania Oxygen Ltd (TOL) and Tanzania Cigarette Company that led the list of top gainers by increasing by 10/- per share or 1.33 percent and 20/- per share or 0.12 percent respectively.

Top losers during the period under review were CRDB Bank Plc by 10/- per share or 2.63 percent, Tanzania Portland Cement Company Ltd (TPCC) and Swissport Company Ltd by 40 per share or 1.16 per cent and 80/- per share or 1.05 per cent respectively.

Three out of seven cross listed companies recorded a positive price movement at the end of the week; these were; USL, KA and JHL. NMG, ACA, EABL and KCB recorded a negative price movement during the week under review.

STANBIC BANK RELAUNCHES REVAMPED MBEYA BRANCH

Stanbic Bank Tanzania has relaunched its revamped branch in Mbeya in line with its mission to offer better services to its customers. “We are pleased to relaunch a revamped branch to the people of Mbeya,” said Ken Cockerill, the CEO of Stanbic Bank Tanzania.

“This revamp is part of our broader efforts to modernize our branch network across the country coupled with offering superior services to our customers.” Stanbic Bank currently has network of 10 branches and 34 ATMs located throughout the regions.

This is in addition to the bank’s mobile and internet banking services. The branch modernization efforts go hand in hand with that of its other physical channels. The bank is currently replacing its ATMs with the latest version of touch-screen ATMs.

NATIONAL MICROFINANCE BANK GETS $35M SYNDICATED LOAN FACILITY FOR SMEs

The National Microfinance Bank has closed a six-year 35 million US dollar (about 73.5bn/-) syndicated loan facility with Netherlands Development Finance Company (FMO) to boost its lending to small and medium enterprises (SMEs) and corporate borrowers.

According to a statement issued yesterday, the loan was arranged by FMO, in syndication with Proparco, a subsidiary of the Agence Francaise de Developement (AFD) which will provide 15 million US dollars and Swedfund 5 million US dollars.

“By supporting NMB Tanzania, we will contribute to providing credit to SMEs and Corporates in Tanzania, supporting economic development,” FMO’s Chief Investment Officer, Linda Broekhuizen is quoted as saying.

“NMB is a leading financial institution in Tanzania, which performs well and has a presence in most of its regions. The lenders are therefore very pleased to be part of this transaction.”

Tuesday 29 September 2015

FASTJET TAKES DELIVERY OF FIRST OWNED AIRCRAFT

Ed Winter, fastjet Chief Executive Officer.
28 September 2015 - fastjet, Africa’s low-cost airline, took delivery of its first owned aircraft on 25 September 2015. The intent to purchase this aircraft, the sixth aircraft in the fastjet fleet, was announced on 26 August 2015 and the agreement was signed on 23 September 2015. The aircraft, an Airbus A319 (Manufacturer’s Serial number 2891), was purchased from an entity managed by BBAM US LP (BBAM), a leader in commercial aircraft leasing, financing and management, headquartered in San Francisco, CA. The market value of the aircraft is approximately USD15.5m The aircraft was purchased at a discount to the market value with the consideration being satisfied in cash.

Ed Winter fastjet CEO commented, “This is an exciting moment for fastjet with this aircraft not only being the first that we have purchased but also that it marks a doubling in the size of our fleet over the past few months. I am particularly pleased that we have purchased this aircraft from BBAM who showed confidence in the Company by leasing the first aircraft to fastjet in 2012. This aircraft has been earmarked to be the first in the fastjet Zambia fleet and following reconfiguration and painting is expected to be flown to Lusaka, Zambia in early November.”

RAIS JAKAYA KIKWETE KATIKA MKUTANO WA 70 WA UMOJA WA MATAIFA JIJINI NEW YORK, MAREKANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano wa 70 wa Umoja wa Mataifa akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula.
Rais Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Lars Loekke Rasmussen.
Rais Kikwete akiwa na Rais mstaafu wa Finland Mama Tarja Halonen.
Rais Kikwete na ujumbe wa Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje na Ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula na Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa.
Rais Kikwete na Waziri Mkuu wa Bahamas Mhe Perry Christie. Hapo Mhe Rais alimfahamisha Waziri Mkuu huyo kwamba yeye anamaliza muda wake na Waziri Mkuu akaeleza matumaini yake kwamba atakayemrithi ataendelea kuimarisha uhusisno wa Tanzania na Bahamas na nchi za Caribbean.
Rais Kikwete akiwa na Rais Filipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji na mawaziri wao wa nchi za nje.

KENYA AIRWAYS GETS RELIEF AS GUINEA, SIERRA LEONE SKIES REOPEN


Kenya has lifted the ban on visitors from Ebola-struck West African nations Sierra Leone and Guinea, opening a flight path that closed 13 months ago for struggling national carrier Kenya Airways (KQ).

Kenya closed the door on visitors from the two countries and Liberia in August last year following an acute outbreak of an Ebola epidemic, cutting deep into revenues of the airline that operated 44 scheduled flights a week to 10 West African cities.

KQ, however, got some reprieve in May when Kenya opened the doors for visitors from Liberia but left both Sierra Leone and Guinea out.

TANZANIA YAFAULU KUPATA BILIONI 992.8 ZA MILLENNIUM CHALLENGE CORPORATION

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na Bi. Dana Hyde, Mtendaji Mkuu wa MCC mara baada ya kumaliza mazungumzo yaliyofanyika kwenye Hoteli ya Marriot Jijini New York.


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Sasa ni Rasmi: Tanzania kupata mabilioni mengine ya MCC
· Yafaulu mtihani wa kupata bilioni 992.8 za kuboresha sekta ya umeme
· Yafanikiwa baada ya kutimiza masharti yote likiwemo la kupambana na rushwa
· Zitaanza kutolewa mwakani baada ya kupigiwa kura na Bodi ya MCC

Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya fedha baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.

Habari hizo njema zimetangazwa Jumamosi, Septemba 26, 2015, kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, na Mtendaji Mkuu wa MCC, Bi. Dana J. Hyde katika mkutano uliofanyika katika Hoteli ya JW Marriot Essex House, New York, na kuhudhuriwa na watumishi waandamizi wa MCC akiwamo Bwana Kamran Khan, Makamu wa Rais wa Operesheni za MCC. Rais Kikwete yuko New York kuhudhuria shughuli za mwaka huu za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

DAR ES SALAAM PORT LAUNCHES NEW FERTILIZER TERMINAL TO BOOST AGRICULTURAL SECTOR

The Norwegian Investment Fund for Developing Countries (Norfund), has recently announced on its website the completion and official launch of the new Yara’s Fertilizer Terminal in the port of Dar es Salaam at a total investment of NOK 169 million.

The new terminal, officially launched by Norway’s Minister of Trade and Industry, Ms. Monica Maeland, is meant to make quality fertilizer more readily available and in smaller packages specialized by type.

By doing this, Yara expects to specially benefit small-scale farmers whom needed to buy it from traders without getting a high quality product and competitive prices.

Norfund, Norway’s main instrument to fight poverty in developing countries, partially financed the terminal with a NOK 40.1 million loan.

The remaining balance was assumed by Yara, the world’s largest producer and marketer of mineral fertilizers.

The terminal’s handling facility with a capacity to process 150,000 tons of fertilizer per year is not only meant to secure the supply of this product at cheaper prices, but also to support the Dar port with extra capacity since it is one of the main gateways in East Africa according to Norfund.

UGANDA AGREES TO REVISE MONEY LAUNDERING LAW

The Ugandan parliament in session. The government has agreed to revise the country’s law on money laundering following criticism by a global agency.
Uganda has agreed to revise its laws on illicit financial flows to allow for more collaboration with other governments and international agencies in the war against money laundering and terrorism financing.

The Anti-Money Laundering Act was passed two years ago following a directive by the East African Community to its members in the wake of growing terror threats and incidents across the region.

It however soon came in for criticism by the Financial Action Task Force (FATF) — the global agency responsible for curbing money laundering and terrorism-financing crimes — for allegedly hindering information-sharing by requiring other monitors and enforcers to sign memoranda of understanding with the government.

KENYA ONLY COUNTRY IN THE WORLD SET TO MEET FIVE HEALTH TARGETS

A mother nurses her baby. The five targets are stunting, wasting, overweight among children under five, exclusive breastfeeding of infants up to six months, and anaemia in women of reproductive age.
Kenya is the only country in the world that is on course to meet all five World Health Assembly (WHA) maternal and child nutrition health targets, according to the 2015 Global Nutrition report.

Kenya’s progress has been attributed to government commitment and investment to end malnutrition; women’s empowerment; improved food supply; greater access to improved healthcare, water and sanitation facilities; and improved performance of specific nutrition programmes across the country.

This new status reflects the results of the Kenyan Demographic and Health Survey from 2014 by the Kenya National Bureau of Statistics 2015, which shows that the country’s malnutrition rates have fallen tremendously in the past five years.

IN ZIMBABWE, THINGS HAVE GONE FROM BAD TO WORSE

A Zimbabwean purchases bread with the Zimbabwe dollar equivalent to $2 in 2008. Zimbabweans were now facing a new scourge: Deflation, which economists say is worse than hyperinflation.
Since 2005, Clemence Mujuru has been supporting his family from his secondhand clothes business in downtown Harare. When business was good, he bought a piece of land to build a house in one of the capital’s suburbs.

Mujuru was admired in the neighbourhood. But not any more.

“Things are not working out the way they used to,” said Mujuru, who used the proceeds from the street sales to pay school fees for his three children. “The situation seems to be getting worse.”

Two weeks ago, he said the municipal police came around and took away all his wares.

“They said we are not allowed to sell second-hand clothes, something that I have been doing for the past 20 years.”

PAYMENTS ON COMESA PLATFORM HIT $1.76M

The platform has so far interconnected banks in eight member countries including DR Congo, Malawi, Mauritius, Rwanda, Swaziland, Uganda, and Zambia.
Payments made through a regional cross-border transfer system hit $1.76 million in the first six months of the year, indicating rising public awareness and uptake of a platform introduced to ease trade.

The Regional Payment and Settlement System (REPSS) said it handled real-time bank transfers totalling $1.69 million and €63,656.71 in the half year to June.

The Common Market for Eastern and Southern Africa (Comesa) launched the platform in October 2012to ease regional trade by offering same-day settlement of funds within the bloc.

EXIM BANK TANZANIA DONATES 50 DESKS TO SHINYANGA SCHOOL

Exim Bank Tanzania Shinyanga Branch Manager Mr Emmanuel Nkelebe hands over 50 desksworth more than 4m/- to Mapinduzi ‘A’ Primary School during the handover ceremony held at the school premises in Shinyanga region, as part of efforts to address inadequate facilities in the nation’s education sector. Looking on is the Chairman of the school board, Mr Sylvester senga (third right) and some the bank’s staff.
Exim Bank Tanzania Shinyanga Branch Manager Mr Emmanuel Nkelebe Branch talks to one of Mapinduzi ‘A’ Primary School pupils after handing over 50 desks worth 4m/- to the school located in Shinyanga Municipal as part of efforts to address inadequate facilities in the nation’s education sector.
Exim Bank Tanzania has donated 50 desks worth more than 4m/- to Mapinduzi ‘A’ Primary School in Shinyanga region, as part of efforts to address inadequate facilities in the nation’s education sector.

Speaking during the handover ceremony held at the school premises in Shinyanga recently, Exim Bank Shinyanga Branch Manager, Mr. Emmanuel Nkelebe said the bank’s move was meant to supplement the government efforts in creating favorable learning environment in the country.

He said his bank has always been a foot forward in subsidizing the government efforts in bringing greater results in the educational sector.

Wednesday 23 September 2015

NATIONAL BANK OF COMMERCE LAUNCHES SMS ALERT

Musa Jallow, NBC’s Head of Retail Banking.

FASTJET YAONGEZA AJIRA KWA VIJANA TANZANIA

Shirika la ndege la fastjet laongeza ajira kwa vijana Tanzania kwa kuajiri wahudumu wa ndege 12 na kuwapatia mafunzo ya kazi.

Meneja Mkuu wa shirika la ndege la fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (Katikati) katika picha ya pamoja na wahudumu 12 (wenye sare) wa ndege hiyo waliohitimu mafunzo yao na tayari kwa kuanza kazi. Wengine katika picha ni Meneja wa wahudumu wa ndege ya fastjet Eugene Dadet (mwenye vazi jeupe) na mwasibu mkuu wa fastjet, Evelyn Mtenga (kushoto).
Meneja Mkuu wa shirika la ndege la fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (katikati), Meneja wa wahudumu wa ndege ya Fastjet Eugene Dadet (kulia) na baadhi ya wahudumu wa ndege hiyo wakikata keki kwa pamoja siku ambayo wahudumu hao wa ndege walipohitimu mafunzo yao.
Meneja Mkuu wa shirika la ndege la fastjet, Jimmy Kibati, (watatu kushoto) kwenye picha ya pamoja na Mshauri Kibiashara wa fastjet Ian Petrie (kulia), Rubani Mkuu wa fastjet, Derrick Luembe (wapili kulia), mwasibu mkuu wa fastjet, Evelyn Mtenga (kushoto) na muhudumu wa ndege hiyo, Khadija Saleh Kasim (wapili kushoto).
Meneje Mkuu wa shirika la ndege la fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kushoto) akimkabidhi muhudumu wa ndege hiyo, Khadija Saleh Kasim (kulia) cheti cha kuhitimu mafunzo ya uhudumu wa ndege.
Meneje Mkuu wa shirika la ndege la fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kushoto) akimkabidhi muhudumu wa ndege hiyo Geofrey Brian (kulia) cheti cha kuhitimu mafunzo ya uhudumu wa ndege.
Baadhi ya wahudumu wa ndege ya fastjet waliohitimu mafunzo yao kwenye picha ya pamoja.

R&R INSURANCE BROKERS BRINGS YOU AUTO PLUS!

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAZINDUA RASMI MAUZO YA NYUMBA ZA MAKAZI SHANGANI, MTWARA

Kaimu Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa Shirika la Nyumba la Taifa, Tuntufye Mwambusi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa mauzo ya nyumba za makazi za Shangani mjini Mtwara.
Nyumba za makazi za Shangani Mtwara kama zinavyoonekana sasa.
Nyumba za makazi za Shangani Mtwara kama zinavyoonekana sasa.
Nyumba za makazi za Shangani Mtwara kama zinavyoonekana zitakapokamilika.
Nyumba za makazi za Shangani Mtwara kama zinavyoonekana zitakapokamilika.

SINGITA SERENGETI, TANZANIA WINS PRESTIGIOUS 'HOTEL OF THE YEAR' AWARD FROM THE CONDE NAST TRAVELLER MAGAZINE UK


Dar es Salaam 16th Sept, 2015 - Singita Serengeti, Tanzania has once again affirmed its status as one of the world's leading hotels, after receiving prestigious accolades from The Condé Nast Traveller Readers’ Travel Awards, having been chosen as the “Best hotel in the world for service", taking second place in the “Best Hotels in the Middle East, Africa & Indian Ocean” category, and third place in the “Top 100 Travel Experiences in the World”.

The award is recognition for Singita Serengeti after readers and visitors voted it the best in terms of its majestic location. The outstanding service pulled together by the guides, trackers, chefs, cleaners and waiters, is what creates the magic that makes this the world's favorite place to stay for service.

Commenting on the award, Singita Serengeti Managing Director Graham Ledger said that he and his team are humbled, honored and thrilled with winning this prestigious award from Condé Nast. "I am extremely proud of my team. We have been working diligently for years making sure that every facet of the business is treated with the utmost care and attention which in turn elevates the guest experience to levels that are truly world class”. He also adds “Tanzania will also benefit hugely as a destination on the world travel calendar as awards such as these bring a lot of positive attention and enormous credibility to the host country".

KAYMU TANZANIA INTRODUCES SELLER COMMISSIONS

This September, Tanzania’s leading online marketplace: Kaymu, has finally decided to introduce a small commission charged to all sellers on the platform. After more than one year of free service, Kaymu decided that it was the right time to start charging commission on every sale made.

When Kaymu first started its operations, the company decided to offer all sellers a long free trial period in order to show them and prove how efficient and beneficial it is for them to sell their products online, as an additional channel to their offline shop. Tanzanian sellers have been able to try out this amazing tool for more than one year and managed to significantly grow their businesses.